Mwanasiasa Mkongwe STIVIN WASIRA ateuliwa kuwa mjumbe wa kamati kuu CCM Taifa

Na Barnabas Kisengi-Dodoma Halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi CCM Taifa imekutana Jijini dodoma katika kikao halali cha kikatiba kilichoongozwa na Mwenyekiti wa cha cha Mapinduzi CCM ambaye pia ni RAIS WA JAMUHURI YAMUUNGANO WA TANZANIA MH SAMIA SULUH HASAN. Akizungumza na waandishi wa habari Katika Ofisi za makao makuu ya chama hicho katibu wa